Kumbukumbu la Torati 24:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 “Akina baba hawapaswi kuuawa kwa sababu ya dhambi za wana wao, na wana hawapaswi kuuawa kwa sababu ya dhambi za baba zao.+ Mtu anapaswa kuuawa kwa sababu ya dhambi yake mwenyewe.+ Kumbukumbu la Torati Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 24:16 Mnara wa Mlinzi,3/15/1986, uku. 31
16 “Akina baba hawapaswi kuuawa kwa sababu ya dhambi za wana wao, na wana hawapaswi kuuawa kwa sababu ya dhambi za baba zao.+ Mtu anapaswa kuuawa kwa sababu ya dhambi yake mwenyewe.+