Kumbukumbu la Torati 26:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 “Siku ya leo Yehova Mungu wako anakuamuru utekeleze masharti haya na sheria hizi.* Ni lazima uzishike na kuzitekeleza kwa moyo wako wote+ na nafsi* yako yote.
16 “Siku ya leo Yehova Mungu wako anakuamuru utekeleze masharti haya na sheria hizi.* Ni lazima uzishike na kuzitekeleza kwa moyo wako wote+ na nafsi* yako yote.