Kumbukumbu la Torati 28:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Yehova atawafanya kuwa kichwa wala si mkia; nanyi mtakuwa juu+ wala si chini, mkiendelea kutii amri za Yehova Mungu wenu ninazowaamuru leo mzishike na kuzitenda.
13 Yehova atawafanya kuwa kichwa wala si mkia; nanyi mtakuwa juu+ wala si chini, mkiendelea kutii amri za Yehova Mungu wenu ninazowaamuru leo mzishike na kuzitenda.