Yoshua 22:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 “Kusanyiko lote la Yehova linasema hivi: ‘Mnawezaje kukosa uaminifu kwa Mungu wa Israeli kwa kufanya jambo kama hili?+ Leo, mmeacha kumfuata Yehova kwa kujijengea madhabahu na kumwasi Yehova.+
16 “Kusanyiko lote la Yehova linasema hivi: ‘Mnawezaje kukosa uaminifu kwa Mungu wa Israeli kwa kufanya jambo kama hili?+ Leo, mmeacha kumfuata Yehova kwa kujijengea madhabahu na kumwasi Yehova.+