Waamuzi 1:33 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 33 Watu wa kabila la Naftali hawakuwafukuza wakaaji wa Beth-shemeshi na Beth-anathi,+ lakini waliendelea kukaa kati ya Wakanaani.+ Wakawatumikisha wakaaji wa Beth-shemeshi na wa Beth-anathi.
33 Watu wa kabila la Naftali hawakuwafukuza wakaaji wa Beth-shemeshi na Beth-anathi,+ lakini waliendelea kukaa kati ya Wakanaani.+ Wakawatumikisha wakaaji wa Beth-shemeshi na wa Beth-anathi.