Waamuzi 2:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 2 Kisha malaika wa Yehova+ akatoka Gilgali+ na kwenda Bokimu na kusema: “Niliwatoa Misri na kuwaleta katika nchi ambayo niliapa kwamba ningewapa mababu zenu.+ Pia nikasema, ‘Sitavunja kamwe agano langu pamoja nanyi.+
2 Kisha malaika wa Yehova+ akatoka Gilgali+ na kwenda Bokimu na kusema: “Niliwatoa Misri na kuwaleta katika nchi ambayo niliapa kwamba ningewapa mababu zenu.+ Pia nikasema, ‘Sitavunja kamwe agano langu pamoja nanyi.+