Waamuzi 11:37 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 37 Kisha akamwambia baba yake, “Naomba jambo hili: Niruhusu niwe peke yangu kwa miezi miwili, acha niende milimani nikaulilie ubikira wangu pamoja na wasichana wenzangu.”* Waamuzi Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 11:37 Mnara wa Mlinzi (Funzo),4/2017, uku. 4
37 Kisha akamwambia baba yake, “Naomba jambo hili: Niruhusu niwe peke yangu kwa miezi miwili, acha niende milimani nikaulilie ubikira wangu pamoja na wasichana wenzangu.”*