Waamuzi 18:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Nao wakaingia katika nyumba ya Mika wakachukua ile sanamu ya kuchongwa, ile efodi,* zile terafimu,* na ile sanamu ya chuma.* Kuhani huyo akawauliza, “Mnafanya nini?”
18 Nao wakaingia katika nyumba ya Mika wakachukua ile sanamu ya kuchongwa, ile efodi,* zile terafimu,* na ile sanamu ya chuma.* Kuhani huyo akawauliza, “Mnafanya nini?”