Waamuzi 18:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Lakini wakamwambia, “Nyamaza. Funika kinywa chako kwa mkono wako, tufuate ili uwe baba* na kuhani wetu. Je, ni bora kwako kuwa kuhani wa nyumba ya mtu mmoja+ au kuhani wa kabila na ukoo katika Israeli?”+
19 Lakini wakamwambia, “Nyamaza. Funika kinywa chako kwa mkono wako, tufuate ili uwe baba* na kuhani wetu. Je, ni bora kwako kuwa kuhani wa nyumba ya mtu mmoja+ au kuhani wa kabila na ukoo katika Israeli?”+