Waamuzi 19:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Hapa nina binti bikira na pia suria wa mwanamume huyu. Acheni niwatoe nje, ili mwatendee mambo ya aibu, ikiwa mnataka kufanya hivyo.*+ Lakini msimtendee mwanamume huyu jambo hili la aibu.”
24 Hapa nina binti bikira na pia suria wa mwanamume huyu. Acheni niwatoe nje, ili mwatendee mambo ya aibu, ikiwa mnataka kufanya hivyo.*+ Lakini msimtendee mwanamume huyu jambo hili la aibu.”