6 Basi Akishi+ akamwita Daudi na kumwambia: “Kwa hakika kama Yehova anavyoishi, wewe ni mnyoofu, nami ningependa uende vitani pamoja na jeshi langu,+ kwa sababu tangu siku uliyokuja kwangu mpaka leo sijakupata na kosa lolote.+ Lakini watawala hawakuamini.+