1 Wafalme 20:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Mara tu Ben-hadadi aliposikia jibu hilo, yeye na wale wafalme walipokuwa wakinywa katika mahema yao,* akawaambia watumishi wake: “Jitayarisheni kushambulia!” Basi wakajitayarisha kushambulia jiji hilo.
12 Mara tu Ben-hadadi aliposikia jibu hilo, yeye na wale wafalme walipokuwa wakinywa katika mahema yao,* akawaambia watumishi wake: “Jitayarisheni kushambulia!” Basi wakajitayarisha kushambulia jiji hilo.