1 Mambo ya Nyakati 15:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Makuhani Shebania, Yoshafati, Nethaneli, Amasai, Zekaria, Benaya, na Eliezeri walipiga tarumbeta kwa sauti kubwa mbele ya Sanduku la Mungu wa kweli,+ na Obed-edomu na Yehia walitumikia pia wakiwa walinzi wa malango kwa ajili ya Sanduku.
24 Makuhani Shebania, Yoshafati, Nethaneli, Amasai, Zekaria, Benaya, na Eliezeri walipiga tarumbeta kwa sauti kubwa mbele ya Sanduku la Mungu wa kweli,+ na Obed-edomu na Yehia walitumikia pia wakiwa walinzi wa malango kwa ajili ya Sanduku.