1 Mambo ya Nyakati 15:29 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 29 Lakini sanduku la agano la Yehova lilipofika kwenye Jiji la Daudi,+ Mikali, binti ya Sauli,+ akaangalia chini kupitia dirishani, akamwona Mfalme Daudi akirukaruka na kusherehekea; akaanza kumdharau moyoni mwake.+
29 Lakini sanduku la agano la Yehova lilipofika kwenye Jiji la Daudi,+ Mikali, binti ya Sauli,+ akaangalia chini kupitia dirishani, akamwona Mfalme Daudi akirukaruka na kusherehekea; akaanza kumdharau moyoni mwake.+