2 Mambo ya Nyakati 7:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 ndipo nitakapoimarisha kiti cha ufalme wako,+ kama nilivyofanya agano pamoja na Daudi baba yako,+ niliposema, ‘Hutakosa kamwe mwanamume wa uzao wako atakayetawala Israeli.’+
18 ndipo nitakapoimarisha kiti cha ufalme wako,+ kama nilivyofanya agano pamoja na Daudi baba yako,+ niliposema, ‘Hutakosa kamwe mwanamume wa uzao wako atakayetawala Israeli.’+