2 Mambo ya Nyakati 24:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kwa hiyo Mfalme Yehoashi hakukumbuka upendo mshikamanifu ambao Yehoyada baba yake* alimtendea, alimuua mwanawe, ambaye alisema hivi alipokuwa akifa: “Yehova na ashughulikie jambo hili na kukulipiza kisasi.”+
22 Kwa hiyo Mfalme Yehoashi hakukumbuka upendo mshikamanifu ambao Yehoyada baba yake* alimtendea, alimuua mwanawe, ambaye alisema hivi alipokuwa akifa: “Yehova na ashughulikie jambo hili na kukulipiza kisasi.”+