2 Mambo ya Nyakati 30:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 Kulikuwa na watu wengi katika kutaniko hilo ambao hawakuwa wamejitakasa, na Walawi ndio waliowachinja wanyama wa dhabihu za Pasaka kwa ajili ya wote ambao hawakuwa safi,+ ili wawatakase kwa Yehova.
17 Kulikuwa na watu wengi katika kutaniko hilo ambao hawakuwa wamejitakasa, na Walawi ndio waliowachinja wanyama wa dhabihu za Pasaka kwa ajili ya wote ambao hawakuwa safi,+ ili wawatakase kwa Yehova.