2 Mambo ya Nyakati 33:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Aliendelea kusali kwa Mungu, naye akaguswa na sala yake ya kusihi, akasikia ombi lake la kutaka kibali, akamrudisha Yerusalemu kwenye ufalme wake.+ Ndipo Manase akajua kwamba Yehova ndiye Mungu wa kweli.+
13 Aliendelea kusali kwa Mungu, naye akaguswa na sala yake ya kusihi, akasikia ombi lake la kutaka kibali, akamrudisha Yerusalemu kwenye ufalme wake.+ Ndipo Manase akajua kwamba Yehova ndiye Mungu wa kweli.+