19 Pia sala yake+ na jinsi ombi lake lilivyojibiwa, dhambi zake zote na jinsi alivyokosa kuwa mwaminifu,+ sehemu alizojenga mahali pa juu na kusimamisha miti mitakatifu+ na sanamu za kuchongwa kabla hajajinyenyekeza, mambo hayo yameandikwa katika maandishi ya waonaji wake.