3 Kisha akawaambia hivi Walawi, walimu wa Waisraeli wote,+ waliokuwa watakatifu kwa Yehova: “Liwekeni Sanduku takatifu ndani ya nyumba ambayo Sulemani mwana wa Daudi mfalme wa Israeli alijenga;+ hampaswi kulibeba tena mabegani mwenu.+ Sasa mtumikieni Yehova Mungu wenu na watu wake Waisraeli.