Esta 5:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Hamani akaendelea kusema: “Isitoshe, Malkia Esta hakumwalika mtu mwingine yeyote isipokuwa mimi nimsindikize mfalme kwenye karamu aliyoandaa.+ Kesho pia amenialika mimi ili niwe naye pamoja na mfalme.+
12 Hamani akaendelea kusema: “Isitoshe, Malkia Esta hakumwalika mtu mwingine yeyote isipokuwa mimi nimsindikize mfalme kwenye karamu aliyoandaa.+ Kesho pia amenialika mimi ili niwe naye pamoja na mfalme.+