Mhubiri 1:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Niliazimia moyoni mwangu kujifunza na kuchunguza kwa hekima+ kila jambo ambalo limefanywa chini ya mbingu+—kazi ya kusikitisha ambayo Mungu amewapa wanadamu inayofanya waendelee kushughulika. Mhubiri Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 1:13 w97 2/15 13-14 Mhubiri Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 1:13 Mnara wa Mlinzi,2/15/1997, kur. 13-14
13 Niliazimia moyoni mwangu kujifunza na kuchunguza kwa hekima+ kila jambo ambalo limefanywa chini ya mbingu+—kazi ya kusikitisha ambayo Mungu amewapa wanadamu inayofanya waendelee kushughulika.