Mhubiri 5:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Hili ndilo jambo ambalo nimeona ni jema na linafaa: kwamba mtu anapaswa kula na kunywa na kufurahia kazi yote ngumu+ anayofanya kwa jasho chini ya jua katika siku chache za maisha alizopewa na Mungu wa kweli, kwa maana hiyo ndiyo thawabu yake.*+ Mhubiri Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 5:18 w98 5/15 6 Mhubiri Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 5:18 Mnara wa Mlinzi,5/15/1998, uku. 6
18 Hili ndilo jambo ambalo nimeona ni jema na linafaa: kwamba mtu anapaswa kula na kunywa na kufurahia kazi yote ngumu+ anayofanya kwa jasho chini ya jua katika siku chache za maisha alizopewa na Mungu wa kweli, kwa maana hiyo ndiyo thawabu yake.*+