Isaya 11:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Siku hiyo Yehova ataunyoosha tena mkono wake, mara ya pili, ili kuwakomboa watu wake waliobaki kutoka Ashuru,+ kutoka Misri,+ kutoka Pathrosi,+ kutoka Kushi,+ kutoka Elamu,+ kutoka Shinari,*+ kutoka Hamathi, na kutoka katika visiwa vya bahari. Isaya Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 11:11 g 12/10 28; ip-1 166-167 Isaya Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 11:11 Amkeni!,12/2010, uku. 28 Unabii wa Isaya 1, kur. 166-167
11 Siku hiyo Yehova ataunyoosha tena mkono wake, mara ya pili, ili kuwakomboa watu wake waliobaki kutoka Ashuru,+ kutoka Misri,+ kutoka Pathrosi,+ kutoka Kushi,+ kutoka Elamu,+ kutoka Shinari,*+ kutoka Hamathi, na kutoka katika visiwa vya bahari.