Isaya 31:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Na Mwashuru atauawa kwa upanga, lakini si wa mwanadamu;+Na upanga, usio wa mwanadamu, utamwangamiza. Atakimbia kwa sababu ya upanga,Na wanaume wake vijana watalazimishwa kufanya kazi za kulazimishwa. Isaya Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 31:8 ip-1 327-328 Isaya Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 31:8 Unabii wa Isaya 1, kur. 327-328
8 Na Mwashuru atauawa kwa upanga, lakini si wa mwanadamu;+Na upanga, usio wa mwanadamu, utamwangamiza. Atakimbia kwa sababu ya upanga,Na wanaume wake vijana watalazimishwa kufanya kazi za kulazimishwa.