Yeremia 17:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 “‘“Hata hivyo, mkinitii kabisa,” asema Yehova, “nanyi msiingize mzigo wowote kupitia malango ya jiji hili siku ya Sabato, nanyi mwendelee kuishika siku ya Sabato ikiwa siku takatifu kwa kutofanya kazi yoyote siku hiyo,+
24 “‘“Hata hivyo, mkinitii kabisa,” asema Yehova, “nanyi msiingize mzigo wowote kupitia malango ya jiji hili siku ya Sabato, nanyi mwendelee kuishika siku ya Sabato ikiwa siku takatifu kwa kutofanya kazi yoyote siku hiyo,+