Yeremia 19:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Nami nitawafanya wale nyama ya wana wao na ya mabinti wao, nao watakula kila mmoja nyama ya mwenzake, kwa sababu ya kuzingirwa na kukata tamaa watakapobanwa na maadui wao wanaotaka kuwaua.”’*+ Yeremia Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 19:9 jr 155 Yeremia Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 19:9 Yeremia, kur. 154-155
9 Nami nitawafanya wale nyama ya wana wao na ya mabinti wao, nao watakula kila mmoja nyama ya mwenzake, kwa sababu ya kuzingirwa na kukata tamaa watakapobanwa na maadui wao wanaotaka kuwaua.”’*+