Ezekieli 7:27 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 27 Mfalme ataomboleza,+ naye mkuu atavaa kukata tamaa,* na mikono ya watu wa nchi itatetemeka kwa hofu. Nitawatendea kulingana na njia zao, nami nitawahukumu kama walivyohukumu. Nao watalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova.’”+ Ezekieli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 7:27 Mnara wa Mlinzi,9/15/1988, uku. 13
27 Mfalme ataomboleza,+ naye mkuu atavaa kukata tamaa,* na mikono ya watu wa nchi itatetemeka kwa hofu. Nitawatendea kulingana na njia zao, nami nitawahukumu kama walivyohukumu. Nao watalazimika kujua kwamba mimi ni Yehova.’”+