Ezekieli 11:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kwa hiyo waambie, ‘Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: “Ingawa nimewapeleka mbali sana miongoni mwa mataifa, nami nimewatawanya katika nchi hizo,+ baada ya muda mfupi nitakuwa kwao mahali patakatifu katika nchi ambazo wameenda.”’+ Ezekieli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 11:16 Mnara wa Mlinzi,9/15/1988, uku. 15
16 Kwa hiyo waambie, ‘Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: “Ingawa nimewapeleka mbali sana miongoni mwa mataifa, nami nimewatawanya katika nchi hizo,+ baada ya muda mfupi nitakuwa kwao mahali patakatifu katika nchi ambazo wameenda.”’+