9 “Sema, ‘Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova anasema hivi: “Je, utasitawi? Je, mtu fulani hataing’oa mizizi yake+ na kufanya matunda yake yaoze na machipukizi yake yanyauke?+ Utakauka sana hivi kwamba hautahitaji mkono wenye nguvu wala watu wengi ili kuung’oa pamoja na mizizi yake.