Ezekieli 26:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Nami nitakufanya uwe jiwe lililo wazi, linalong’aa, nawe utakuwa uwanja wa kukaushia nyavu za kukokotwa.+ Hutajengwa tena kamwe, kwa maana mimi mwenyewe, Yehova, nimesema,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova. Ezekieli Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 26:14 “Kila Andiko,” uku. 133
14 Nami nitakufanya uwe jiwe lililo wazi, linalong’aa, nawe utakuwa uwanja wa kukaushia nyavu za kukokotwa.+ Hutajengwa tena kamwe, kwa maana mimi mwenyewe, Yehova, nimesema,’ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.