Ezekieli 41:1 Biblia TakatifuāTafsiri ya Ulimwengu Mpya 41 Kisha akanileta kwenye sehemu ya nje ya patakatifu,* naye akapima nguzo za pembeni; zilikuwa na upana wa mikono sita* upande mmoja na mikono sita upande mwingine.
41 Kisha akanileta kwenye sehemu ya nje ya patakatifu,* naye akapima nguzo za pembeni; zilikuwa na upana wa mikono sita* upande mmoja na mikono sita upande mwingine.