Ezekieli 44:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Nao watakuwa wahudumu wa mahali pangu patakatifu ili kusimamia malango ya hekalu+ na kuhudumu hekaluni. Watawachinja wanyama wa dhabihu nzima za kuteketezwa na dhabihu kwa ajili ya watu, nao watasimama mbele ya watu ili kuwahudumia.
11 Nao watakuwa wahudumu wa mahali pangu patakatifu ili kusimamia malango ya hekalu+ na kuhudumu hekaluni. Watawachinja wanyama wa dhabihu nzima za kuteketezwa na dhabihu kwa ajili ya watu, nao watasimama mbele ya watu ili kuwahudumia.