Amosi 3:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 ‘Kwa maana siku nitakapowafanya Waisraeli wawajibike* kwa sababu ya maasi yao yote,*+Pia nitawafanya wawajibike kwa sababu ya madhabahu za Betheli;+Pembe za madhabahu zitakatwa na kuanguka ardhini.+
14 ‘Kwa maana siku nitakapowafanya Waisraeli wawajibike* kwa sababu ya maasi yao yote,*+Pia nitawafanya wawajibike kwa sababu ya madhabahu za Betheli;+Pembe za madhabahu zitakatwa na kuanguka ardhini.+