Amosi 6:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 ‘Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova ameapa kwa nafsi yake mwenyewe,’+ asema Yehova Mungu wa majeshi,‘“Nakichukia sana kiburi cha Yakobo,+Naichukia minara yake yenye ngome,+Nami nitawapa wengine jiji lao na vyote vilivyomo.+
8 ‘Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova ameapa kwa nafsi yake mwenyewe,’+ asema Yehova Mungu wa majeshi,‘“Nakichukia sana kiburi cha Yakobo,+Naichukia minara yake yenye ngome,+Nami nitawapa wengine jiji lao na vyote vilivyomo.+