Zekaria 3:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Basi nikasema: “Na avikwe kilemba safi kichwani.”+ Nao wakamvika kilemba safi kichwani na kumvisha mavazi; na malaika wa Yehova alikuwa amesimama karibu.
5 Basi nikasema: “Na avikwe kilemba safi kichwani.”+ Nao wakamvika kilemba safi kichwani na kumvisha mavazi; na malaika wa Yehova alikuwa amesimama karibu.