Zekaria 4:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 Nikamuuliza mara ya pili: “Mafungu haya mawili ya matawi ya mizeituni* yanayomimina mafuta ya dhahabu kupitia mirija miwili ya dhahabu yanamaanisha nini?”
12 Nikamuuliza mara ya pili: “Mafungu haya mawili ya matawi ya mizeituni* yanayomimina mafuta ya dhahabu kupitia mirija miwili ya dhahabu yanamaanisha nini?”