Zekaria 8:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 na wakaaji wa jiji moja wataenda kwa wakaaji wa jiji lingine na kuwaambia: “Twendeni kwa bidii tukamsihi Yehova atupe kibali chake* na kumtafuta Yehova wa majeshi. Mimi pia nitaenda.”+ Zekaria Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012 8:21 w96 1/1 21-22 Zekaria Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 8:21 Mnara wa Mlinzi,1/1/1996, kur. 21-224/15/1986, uku. 20
21 na wakaaji wa jiji moja wataenda kwa wakaaji wa jiji lingine na kuwaambia: “Twendeni kwa bidii tukamsihi Yehova atupe kibali chake* na kumtafuta Yehova wa majeshi. Mimi pia nitaenda.”+