Malaki 1:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 “‘Kwa kutoa chakula kilichochafuliwa* juu ya madhabahu yangu.’ “‘Nanyi mnauliza: “Tumekuchafua jinsi gani?”’ “‘Kwa kusema: “Meza ya Yehova+ ni kitu cha kudharauliwa.” Malaki Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 1:7 Mnara wa Mlinzi,12/1/1987, kur. 17-18
7 “‘Kwa kutoa chakula kilichochafuliwa* juu ya madhabahu yangu.’ “‘Nanyi mnauliza: “Tumekuchafua jinsi gani?”’ “‘Kwa kusema: “Meza ya Yehova+ ni kitu cha kudharauliwa.”