Malaki 1:12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 12 “Lakini ninyi mnalitia unajisi*+ kwa kusema, ‘Meza ya Yehova imechafuliwa, matunda yake, chakula chake, ni kitu cha kudharauliwa.’+ Malaki Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 1:12 “Kila Andiko,” uku. 173 Mnara wa Mlinzi,12/1/1987, kur. 19-20
12 “Lakini ninyi mnalitia unajisi*+ kwa kusema, ‘Meza ya Yehova imechafuliwa, matunda yake, chakula chake, ni kitu cha kudharauliwa.’+