Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mathayo 5:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Hata hivyo, ninawaambia kila mtu anayeendelea kumkasirikia+ ndugu yake atawajibika mahakamani; na yeyote anayemtukana ndugu yake kwa neno la dharau atawajibika katika Mahakama Kuu; na yeyote anayesema, ‘Wewe mpumbavu usiyefaa kitu!’ atastahili moto wa Gehena.*+

  • Mathayo 5:22
    Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
    • 22 Hata hivyo, mimi nawaambia nyinyi kwamba kila mtu aendeleaye kuwa na hasira ya kisasi na ndugu yake atapaswa kutoa hesabu kwa mahakama ya kuamulia haki; lakini yeyote yule amwambiaye ndugu yake neno la dharau lisilosemeka atapaswa kutoa hesabu kwa Mahakama Kuu Zaidi; hali yeyote yule asemaye, ‘Wewe baradhuli!’ atakuwa mwenye kustahili Gehena ya moto.

  • Mathayo
    Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012
    • 5:22 w11 4/1 31; w08 1/15 29; w06 2/15 31; w05 3/15 6

  • Mathayo
    Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019
    • 5:22

      Yesu—Njia, uku. 87

      Mnara wa Mlinzi,

      4/1/2011, uku. 31

      1/15/2008, uku. 29

      2/15/2006, uku. 31

      3/15/2005, uku. 6

      10/1/1990, kur. 13, 14-15

      7/15/1989, kur. 24-25

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki