-
Luka 5:30Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
30 Ndipo Mafarisayo na waandishi wao wakaanza kunung’unikia wanafunzi wake, wakisema: “Ni kwa nini mnakula na kunywa pamoja na wakusanya-kodi na watenda-dhambi?”
-