-
Luka 11:1Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
11 Sasa alikuwa mahali fulani akisali, alipomaliza, mmoja wa wanafunzi wake akamwambia: “Bwana, tufundishe jinsi ya kusali, kama vile Yohana alivyowafundisha wanafunzi wake.”
-
-
Luka 11:1Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
11 Sasa pindi alipokuwa mahali fulani akisali, alipokoma, mtu fulani kati ya wanafunzi wake alimwambia: “Bwana, tufundishe jinsi ya kusali, sawa na vile Yohana pia alivyofundisha wanafunzi wake.”
-