-
Luka 18:13Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
13 Lakini yule mkusanya-kodi akiwa amesimama kwa umbali fulani hakutaka hata kuinua macho yake kuelekea mbinguni, bali alifuliza kupiga kifua chake, akisema, ‘Ee Mungu, uwe mwenye fadhili kwangu mimi mtenda-dhambi.’
-