-
Luka 22:66Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
66 Hatimaye wakati ulipopata kuwa mchana, kusanyiko la wanaume wazee wa watu, makuhani wakuu na waandishi pia, wakakusanyika pamoja, nao wakamburuta ndani ya jumba lao la Sanhedrini, wakisema:
-