-
Yohana 5:19Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
19 Kwa hiyo, kwa kujibu, Yesu akaendelea kuwaambia: “Kwa kweli kabisa mimi nawaambia nyinyi, Mwana hawezi kufanya hata kitu kimoja kwa uanzisho wake mwenyewe, ila tu kile atazamacho Baba akifanya. Kwa maana mambo yoyote yale Huyo hufanya, mambo hayo Mwana pia hufanya kwa namna kama hiyo.
-