-
Yohana 6:11Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
11 Yesu akaichukua ile mikate, akatoa shukrani, kisha akawagawia wale waliokuwa wameketi hapo; pia akafanya vivyo hivyo na wale samaki wadogo, watu wote wakala na kushiba.
-
-
Yohana 6:11Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
11 Basi Yesu akachukua ile mikate na, baada ya kushukuru, akaigawanya kwa wale waliokuwa wameegama, hivyohivyo pia wale samaki wadogo kadiri walivyotaka.
-