-
Yohana 6:60Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
60 Waliposikia hivyo, wengi kati ya wanafunzi wake wakasema: “Maneno hayo yanashtua; ni nani anayeweza kuyasikiliza?”
-
-
Yohana 6:60Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
60 Kwa hiyo wengi wa wanafunzi wake, waliposikia hilo, wakasema: “Usemi huu unashtua; ni nani ambaye aweza kuusikiliza?”
-