-
Yohana 12:6Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
6 Hakusema hivyo kwa sababu aliwahangaikia maskini, bali kwa sababu alikuwa mwizi, naye ndiye aliyetunza sanduku la pesa na alikuwa akiiba pesa zilizowekwa humo.
-
-
Yohana 12:6Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
6 Ingawa hivyo, alisema hilo si kwa sababu alihangaikia maskini, bali kwa sababu alikuwa mwizi na alikuwa na sanduku la fedha na alikuwa na kawaida ya kuchukua fedha zilizowekwa ndani yalo.
-