-
Yohana 13:7Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
7 Yesu akamjibu: “Ninalofanya huelewi sasa, lakini utaelewa baada ya mambo haya.”
-
-
Yohana 13:7Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
7 Kwa kujibu Yesu akamwambia: “Kile ninachofanya wewe hukielewi wakati wa sasa, bali utaelewa baada ya mambo haya.”
-